Distinction Kipeo Cha Kiswahili Grade 1 (Rationalised)

Description
Distinction Kipeo cha Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya Kwanza ni kitabu kilichoundwa kwa somo la Kiswahili kwa darasa la kwanza. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na mtaala wa umilisi, na kilitengenezwa kwa lugha nyepesi na rahisi ili mwanafunzi aweze kuelewa kwa urahisi. Mpangilio wa sura, mada ndogondogo, na shughuli umefanywa kwa njia rahisi inayorahisisha matumizi ya kitabu.
Kitabu hiki kimeandikwa na walimu wenye weledi na uzoefu mkubwa katika ufunzaji wa Kiswahili, na kinasaidia mwanafunzi kukuza stadi za lugha, umilisi, na maadili kwa njia yenye tija.
ISBN: 9789914470369










