Joto la Moyo (Storymoja) – Hadithi ya Ndoto, Uvumilivu na Familia

KSh 475.00
0 reviews
24 people are viewing this right now
Estimated Delivery:
12 - 14 Feb, 2026
lipa-na-mpesa
Guaranteed safe & secure checkout

Description

Joto la Moyo ni hadithi inayomhusu Bwire, mvulana anayeishi na nyanya na babu zake ambao hawana bee wala tee, ingawa wao ni wazazi wa daktari mashuhuri. Licha ya changamoto nyingi, Bwire ana ndoto kubwa maishani na amefanya vizuri katika mtihani wa taifa wa Darasa la Nane. Swali ni, atapataje pesa za kuendelea na shule ya upili? Je, ndoto yake itatekelezeka?

Nyanya yake, Bi Zahara, anamuambia Bwire hadithi za familia yao na changamoto waliopitia, huku taarifa anazopata kuhusu mama yake aliyeishi Eldoret zikimchochea kuanza safari kumtafuta. Hadithi hii inafundisha uvumilivu, ndoto, na mshikamano wa familia.

Author: Wafula Wa Wafula | ISBN: 9789966066619

Select the fields to be shown. Others will be hidden. Drag and drop to rearrange the order.
  • Image
  • SKU
  • Rating
  • Price
  • Stock
  • Availability
  • Add to cart
  • Description
  • Content
  • Weight
  • Dimensions
  • Additional information
  • Sold
  • Shipping
Click outside to hide the comparison bar
Compare