Laana ya Mkufu (Queenex)

KSh 318.00
0 reviews
22 people are viewing this right now
Estimated Delivery:
10 - 12 Apr, 2026
lipa-na-mpesa
Guaranteed safe & secure checkout

Description

Mfalme Monamwezi hana muda mrefu wa kuishi. Anamrithisha ufalme mwanawe Kisangasanga. Mwanzoni, Kisangasanga anauendesha ufalme wa Watambele vyema hadi anapoenda kinyume cha maagizo ya baba yake. Ufalme unaanza kuporomoka. Mfalme Kisangasanga si mfalme wa wanadamu tena bali wa wanyama pangoni. Je, ataweza kurejea tena na kuendelea na uongozi? Laana ya Mkufu ni hadithi yenye ujumbe wa kipekee wa kumnasa msomaji yeyote anayeisoma.

David G. Maillu ni mwandishi tajika wa vitabu vya watoto. Anasifika kwa umiliki wake wa lugha na fasihi ya Kiswahili na kwa kuwachangamsha wasomaji kwa hadithi za kusisimua.

ISBN: 978-9966-075-50-5
9789966075505

Select the fields to be shown. Others will be hidden. Drag and drop to rearrange the order.
  • Image
  • SKU
  • Rating
  • Price
  • Stock
  • Availability
  • Add to cart
  • Description
  • Content
  • Weight
  • Dimensions
  • Additional information
  • Sold
  • Shipping
Click outside to hide the comparison bar
Compare